Jinsi ya Kununua
Updated 08/02/2026
1. Chagua bidhaa kisha bonya "Add to Cart"
(a) Kuongeza idadi bonya "View Cart"
(b) Kufanya malipo bonya "Check Out"
(c) Kuongeza bidhaa nyingine bonya "Continue Shopping"
NAMNA RAHISI YA KUPATA BIDHAA
- Ingia kwenye main menu, kisha categories (Makundi), chagua kundi la bidhaa unazotaka.
- Tumia filters and sort, baada ya kufungua bidhaa zote.
- Tumia search bar iliyopo kenye ufito wa juu karibu na cart, kisha andika jina la bidhaa unayohitaji.
2. Kukamilisha manunuzi (Check out) Jaza fomu ya manunuzi kwa usahihi
(a) Chagua "shipping method"
(b) Chagua namna ya kulipa [Pesapal au Lipa namba {wote} na Cash On Delivery (COD) {Lushoto}]
(c) Bonya "Pay now" au "Complete order"
3. Jinsi ya kufanya malipo (Pesapal)
(a) Chagua njia ya kulipia (mitandao ya simu and benki)
(b) Weka namba ya simu au taarifa za kibenki.
(c) Bonya "Proceed", Kisha utapokea SMS ya kuthibitisha malipo.
(d) Baada ya kuthibitisha Bonya "Complete order"
4. Kutoa maelekezo ya ziada, bofya alama ya "Chat" (upande wa kulia kwa chini) au alama ya Whatsap (upande wa kushoto chini), na andika jumbe wako hapo.
5. Wahudumu wetu watakamilisha order yako kwa wakati.